Isaiah 9:16-17


16 aWale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha,
nao wale wanaoongozwa wamepotoka.

17 bKwa hiyo Bwana hatawafurahia vijana,
wala hatawahurumia yatima na wajane,
kwa kuwa kila mmoja wao hamchi Mungu, nao ni waovu,
na kila kinywa kinanena upotovu.

Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,
mkono wake bado umeinuliwa juu.

Copyright information for SwhKC